Bustani zinazoelea kwa Nina maarufu la "hanging gardens of Babylon" ni mojawapo kati ya maajabu saba ya dunia. Zilinasadikika kuwa zilikuwa mji wa Babylon ambao leo ni Iraq.
Zilijengwa mwaka 600BC na zilikuwa na urefu wa mita 24.
Aliyezijenga alikuwa ni mfalme Nebuchadnezzar wa pili kwa mke wake aliyeitwa Amytis. Amytis mtoto wa mfalme wa Medes aliolewa kwa Nebuchadnezzar ili kuleta ushirikiano baina ya pande mbili.
Amyitis alitokea sehemu iliyokuwa na milima na yenye kijani kibichi. Alipoolewa kulikuwa tambarale na hakukuwa na kijani kibichi. Hivyo Nebuchadnezzar aliamua kumtengenezea bustani juu ya jengo ili kumfurahisha mke wake.
Sunday, 12 March 2017
Edius Katamugora
Hii ni blogu rasmi ya Edius Katamugora, hapa utajifunza maendeleo binafsi, utapata makala mbalimbali zinazohusu biashara, elimu, hamasa na maisha kwa ujumla. Karibu sana katika blogu hii.
Related Posts:
Bustani Zinazoelea (Hanging Gardens of Babylon)Bustani zinazoelea kwa Nina maarufu la "hanging gardens of Babylon" ni… Read More
Maajabu Nyumba Ya Beyonce Na Jay Z Nyumba MPYA waliyonunua Beyonce na Jay Z wiki iliyopita ni kubwa kuli… Read More
Usilolijua Kuhusu White House (Ikulu Ya Marekani)Ikulu ya Marekani imekuwa ikitambulika kwa jina maarufu kama "White Ho… Read More
Nyumba Za Maajabu Tazama nyumba hizi zilizijengwa kwa maajabu sana. Nina hakika zitakua… Read More
0 comments:
Post a Comment