Thursday 4 February 2021

NI RAHISI! JIPATIE VITABU VYA UJASIRIAMALI (PDF) NDANI YA DAKIKA 5 (GET ENTREPRENEURSHIP BOOKS IN FIVE MINUTES)

 Sifa mojawapo ya mjasiriamali aliyefanikiwa ni kujijengea tabia ya kuwa mwanafunzi wa maisha yaani mtu anayejifunza mambo kila kukicha.

 


kama mjasiriamali pia unatakiwa kujijengea tabia ya kusoma vitabu mara nyingi uwezavyo. Les Brown mwandishi na mhamasishaji mashuhuri anasema ili uweze kuzifikia ndoto zako kwa haraka tengeneza utaratibu wa kusoma kurasa zisizopungua walau 30 kila kukicha.

Kitabu kimoja huwa na wastani wa kurasa 200 na vingine pungufu ya hapo. Ukijenga tabia ya kusoma kurasa 30 kila siku kwa mwaka mmoja utakua umesoma vitabu 52 na ziadi kwa miaka kumi utakuwa umesoma vitabu takribani 600.

                            

Kuna tofauti kubwa kati ya mjasiriamali anayesoma mara kwa mara na yule ambaye hana tabia ya kujisome au kujifunza vitu.

Je unatamani kuwa mjasiriamali mwenye mafanikio na hujui ni vitabu gani usome vitakavyokusaidia kwenye kazi yako ya kijasiriamali?

Kama jibu ni ndiyo basi usiwaze kabisa maana shida yako imetatuliwa. Nimekuandalia vitabu 15 muhimu na zawadi ya kitabu kimoja vitabu hivi ni vya kingereza lakini hicho kimoja ni cha Kiswahili.

Kitabu cha Kiswahili kitakufundisha namna ya kukuza biashara yako kupitia intanenti au mtandao. Kumbuka nusu ya dunia sasa inatumia intaneti, unachelewa nini kuipeleka biashara yako mtandaoni na kuwa ya kimataifa? Je unahitaji kupanua biashara yako kupata wateja zaidi kitabu hiki kimebeba majibu yote.

 Ili upate vitabu hivyo 11 muhimu kwa kila mjasiriamali tuma neno "MJASIRIAMALI PACK" kwenda nambari 0764145476 kwa njia ya SMS kisha nitakutumia vitabu hivyo ndani ya dakika tano. Huduma hii inapatikana kwa bei ya ofa ya elfu tano tu (5,000/=) kwa watu 10 wa mwanzo kisha itakuwa elfu kumi (10,000/=) baada ya hapo.

 Wahi ofa hii ni ya muda mfupi tu, baada ya hapo kuna uwezekano mkubwa isipatikane.


Hii ni blogu rasmi ya Edius Katamugora, hapa utajifunza maendeleo binafsi, utapata makala mbalimbali zinazohusu biashara, elimu, hamasa na maisha kwa ujumla. Karibu sana katika blogu hii.

0 comments: