Sunday 3 May 2020

KITABU: NATAMANI KUANZA KUSOMA VITABU (Mwongozo wa kujenga Tabia ya Kusoma Vitabu)


Lipia 4000 na utatumiwa kitabu hiki ( WhatsApp au email) papo hapo. Kipo katika mfumo wa nakala laini (soft copy).

Kwa kiasi hicho kidogo utakachotoa  utajifunza yafuatayo:

1. Faida za kusoma Vitabu

2. Kwanini watu hawasomi vitabu

3. Namna ya Kujenga Tabia ya Kusoma Vitabu.

4. Kanuni ya 2 × 3 × Akili: Ukiifahamu kanuni hii hautawahi kuishiwa pesa mfukoni.

5. Tovuti zaidi ya 20 za kupata vitabu bure mtandaoni.

6. Orodha ya vitabu zaidi ya 100 unavyoweza kuanza navyo kuvisoma.



7. Namna ya kumjengea mtoto mdogo tabia ya kusoma vitabu.

8. Siri walizozificha matajiri kuhusu vitabu.

9. Siri walizoficha wanawake wanaosoma vitabu.

Haya yote utayapata kwa uchakavu wa shilingi 4000 tu.

๐Ÿ‘†๐Ÿพ๐Ÿ‘†๐ŸพLengo la kitabu hiki ni kuwafikia Watu 30000. Ili tufanye hivyo watu 50 wa kwanza kulipia 4000 watapata kitabu hichi haraka sana.

Mbali na kupata kitabu watu hao watakuwa wakielekezwa na mwandishi kwa muda wa mwezi mmoja namna wanavyoweza kujenga tabia hii.

Namba ya Malipo 0764145476 Jina Edius Katamugora. Ofa hii ni kwa muda maalumu na wakifika 50 itakwisha.

N.B: Kama hautaona mabadiliko ndani ya siku 90 bila 100% guaranteed.

Karibu ujipatie maarifa haya.

Ukishalipa tuma ujumbe ulioandikwa, "BOOK" utatumiwa kitabu mara moja.

Edius Katamugora
Author of 7 books
Content Creator
Creative Writter

Hii ni blogu rasmi ya Edius Katamugora, hapa utajifunza maendeleo binafsi, utapata makala mbalimbali zinazohusu biashara, elimu, hamasa na maisha kwa ujumla. Karibu sana katika blogu hii.

0 comments: