Wednesday 6 May 2020

KITABU: PUMBA ZA EDIUS



Kitabu hiki ni kitabu chenye misemo ya hekima, mwandishi amekipa jina dogo la MAMBO MUHIMU TUNAYOYACHUKULIA POA MAISHANI. Waliosoma kitabu hiki wote wamekubali kwamba ni kitabu kinachopaswa kusomwa na kila mtu.


Kitabu hiki kinapatikana bure kabisa. Wasiliana na mwandishi 0764145476 ili uweze kukipata.

Edius Katamugora
0764145476

Hii ni blogu rasmi ya Edius Katamugora, hapa utajifunza maendeleo binafsi, utapata makala mbalimbali zinazohusu biashara, elimu, hamasa na maisha kwa ujumla. Karibu sana katika blogu hii.

0 comments: