Tuesday 11 May 2021

Mambo Haya Yatakufikisha mbali.



1. Sali Sana
2. Soma sana, chimba mambo kwa undani hasa.
3. Soma Biblia/Kurani asubuhi na jioni
4. Kuwa na kitu kimoja unachokisimamia/fanya na hakikisha watu wanakujua kwa hicho.
5. Ongeza mtandao wako wa watu
6. Ishi na watu vizuri.
7. Jifunze ujuzi mpya, dunia inabadilika kila uchao
8. Mawazo ya kibunifu yafanyie kazi, usiyaatamie hayo sio mayai.

Edius Katamugora
0758594893 (WhatsApp)

Hii ni blogu rasmi ya Edius Katamugora, hapa utajifunza maendeleo binafsi, utapata makala mbalimbali zinazohusu biashara, elimu, hamasa na maisha kwa ujumla. Karibu sana katika blogu hii.

0 comments: